Natafuta kazi laboratory technologist nipo mafinga-iringa

Natafuta kazi laboratory technologist nipo mafinga-iringa

wakunyumba2

Member
Joined
Aug 15, 2015
Posts
31
Reaction score
7
Nipo mafinga iringa natafuta kazi ya laboratory .Natanguliza shukrani zangu
 
Yaani umesomea nini hasa? Medical lab technician au lab za mambo ya viwandani??
 
Matangazo kama haya ya kutafuta kazi ni muhimu na lazima ueleze level ya elimu yako...ni certificate au diploma au degree?? Sasa ukisema tu lab technician nani atajua kiwango chako cha elimu?
 
Kumbe hata afya kumebuma ???
Tatizo vijana wa siku hizi sijui wanasoma nini huko mashuleni. Hata kuandika job application letter hawawezi. Huko kazini mtaweza kufanya kazi kweli?? Nyota njema huonekana asubuhi.
 
Nipo mafinga iringa natafuta kazi ya laboratory .Natanguliza shukrani zangu
*Natangaza tena*

mwenye coz ya lab. Tec certificate na anayo living na hana *_ajira_* anitafute mbona hamsaidiki ninyi watu hata kama ndugu jamaaa na rafiki waambieni

piga *0629216885* kwa maelezo zaidi .NIMETOA KWENY GROUP LA WhatsApp LA WATUMISHI WA MUNGU KUNAMDAU KAPOST HEBU WASILIANA NAE
 
Matangazo kama haya ya kutafuta kazi ni muhimu na lazima ueleze level ya elimu yako...ni certificate au diploma au degree?? Sasa ukisema tu lab technician nani atajua kiwango chako cha elimu?
Ngoja nikufungue akili. Jamaa kasema laboratory technologist maana take Ni lab practitioner level ya diploma.
 
Back
Top Bottom