Wakuu kwema? Ninahtaji vijana 30 wa kusaidiana nao kubandika poster maeneo mbalimbali ya dar. Majukumu ya kazi ni kubandika poster katika maduka yanayotoa huduma za kifedha na maduka yanayouza vocha. Poster ni za mitandao ya simu Vijana wote wataingia kazini kuanzia saa 4 mpaka pale...
Hata mimi nimeshtuka na kushangaa sana. Fikiria msomi wa shahada anashindwa hata kujitambulisha na kujieleza juu ya nafasi ya ajira.
Ameshindwa kabisa kujiamini juu ya ujuzi wake na anaona kama hauwezi kumpatia ajira hapa JF.
Ameshindwa kabisa kujieleza kuwa hiyo shahada yake inaweza kumuwezesha kufanya kazi gani na gani na kwa ofisi zipi ziwe binafsi, mashirika au hata miradi ya kiserikali.
Ameshindwa kabisa kuwaeleza watu wanaofanya biashara ya Real Estate umuhimu wa kampuni zao na ofisi zao kuwa na mtaalamu kama yeye.
Ameshindwa kabisa kujieleza vyema kama msomi badala yake anatafuta huruma za watu hapa na kazi za ukiwa na akili timamu. Hili linasikitisha sana, sasa kwanini alienda hiyo shule?
Hata mimi nimeshtuka na kushangaa sana. Fikiria msomi wa shahada anashindwa hata kujitambulisha na kujieleza juu ya nafasi ya ajira.
Ameshindwa kabisa kujiamini juu ya ujuzi wake na anaona kama hauwezi kumpatia ajira hapa JF.
Ameshindwa kabisa kujieleza kuwa hiyo shahada yake inaweza kumuwezesha kufanya kazi gani na gani na kwa ofisi zipi ziwe binafsi, mashirika au hata miradi ya kiserikali.
Ameshindwa kabisa kuwaeleza watu wanaofanya biashara ya Real Estate umuhimu wa kampuni zao na ofisi zao kuwa na mtaalamu kama yeye.
Ameshindwa kabisa kujieleza vyema kama msomi badala yake anatafuta huruma za watu hapa na kazi za ukiwa na akili timamu. Hili linasikitisha sana, sasa kwanini alienda hiyo shule?
Inashangaza zaidi ata post zake nyingine za mwaka huu huu anajitambulisha kuwa ana elimu ya form four,inaelekea amesoma real estate Management ila hakuelewa au haipendi hiyo profession.
Inashangaza zaidi ata post zake nyingine za mwaka huu huu anajitambulisha kuwa ana elimu ya form four,inaelekea amesoma real estate Management ila hakuelewa au haipendi hiyo profession.
Inashangaza zaidi ata post zake nyingine za mwaka huu huu anajitambulisha kuwa ana elimu ya form four,inaelekea amesoma real estate Management ila hakuelewa au haipendi hiyo profession.