Natafuta Kazi Kama Security Officer/Security Guard

Natafuta Kazi Kama Security Officer/Security Guard

kapuman

New Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
1
Reaction score
0
Jambo wanajamvi. Mimi ni kijana wa kitanzania, Umri wangu naelekea Miaka 28, nna Elimu ya Uhasibu (Advanced Diploma), Elimu ya Ufundi na Matumizi ya Computer( Pc Maintenance) toka Veta, nna Uzoefu wa kuendesha magari 4wd, salon na ma bus kwa miaka 6 na leseni yenye madaraja A, A2, B, D na E. Bila kusahau certificate ya Elimu ya Kidato cha sita (ACSE).

Katika Kuongezea, Nimepitia mafunzo ya Kijeshi JKT kwa kujitolea (Miezi 6), kwa sasa nafanya Training katika kampuni binafsi ya masuala ya Ulizi kama security Officer(Ni mwezi sasa). Nimekuja Jamvini kuomba msaada wenu maana muda unayoyoma na huku katika training nafasi za ajira( za kuziba gaps) hazijatokea bado so kuna uwezekano wa kumalizia training next week na kurudi nyumbani kungojea nafasi zikitoka.

Kwa sasa nafanya shughuli za Ufundi Computer na Contract Diver ili kujikimu mahitaji yangu hapa mjin. kwa mwenye Info za Ajira yoyote ambayo inaweza ikaendana na Qualifications zangu (Iwe Guarding, Driving n.k) tafadhali wasilianana nami kupitia e mail:- sumamajala@gmail.com au 0752 981 380.

Natanguliza shukrani.
 
JKT ulimaliza miaka miwili baada ya mafunzo?au nPM wewe ni operesheni gani
 
Kwa hiyo ulitoboa au vp maana maelezo yako cjayaelewa
 
mike matangazo ya kampun nyingne humu unayaona? jaribu mike.
 
mike matangazo ya kampun nyingne humu unayaona? jaribu mike.

Dela unajua unafanya kosa kubwa sana, linaweza kukusababishia BAN. Ilo jina unalokazana kumuita mtoa mada unalitoa wapi?
 
Securitu Group wametoa nafasi za drivers mwisho kesho kutwa 10 Desemba 2014,cheki TAYOA
 
Dah.....ukosefu Wa ajira na hatma ya Tanzania...
Mbona uhasibu umeuweka pembeni....nnapoona muhasibu wenzangu anapata tabu inaniuma sana ebu...nPM nkupe mchongo
 
Dah.....ukosefu Wa ajira na hatma ya Tanzania...
Mbona uhasibu umeuweka pembeni....nnapoona muhasibu wenzangu anapata tabu inaniuma sana ebu...nPM nkupe mchongo

Hajafanikiwa Bado... Mpigie simu maana hana access ya net, nilimtext kumwambia anauliziwa JF akasema hajafanikiwa na cm anayotumia now hai support net.
 
Hajafanikiwa Bado... Mpigie simu maana hana access ya net, nilimtext kumwambia anauliziwa JF akasema hajafanikiwa na cm anayotumia now hai support net.

OK subir ntamcheki tu asiwe na hofu uku narekebisha mazingira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom