Natafuta kazi jamani!

Natafuta kazi jamani!

Sawa mkuu kazi yoyote iliyo halali
Hapana sikushauri solanum ufanye kazi yoyote eti ili mradi upate riziki! Hiyo ni hatari sana, ushauri tafuta shughuli yoyote ile YA HALALI, maana ukisema yoyote kuna watu wanatafuta vijana (Punda) wa kubeba unga sasa hiyo ni hatari, wapo wenye magenge ya uhalifu nao wanatafuta vijana.
 
Ahsante mkuu, hali ni ngumu aisee we acha tu hadi nafikia kulala na njaa siyo mchezo
Kuwa mvumilivu ipo siku
Mwombe Mungu yeye ndio njia pekee
Usikate tamaa kazana tafuta itakayokuwezesha kula huku ukiendelea kutafuta taratibu.
Sio wewe pekee ni muhanga tupo wengi ila tunajikaza tu maisha yasonge na kuwa na imani ipo siku mafanikio yatapatikana.
 
Mkuu ushajaribu kutuma maombi kwenye viwanda hivi vya kutegeneza vyakula mfano azam etc?
 
Hapana sikushauri solanum ufanye kazi yoyote eti ili mradi upate riziki! Hiyo ni hatari sana, ushauri tafuta shughuli yoyote ile YA HALALI, maana ukisema yoyote kuna watu wanatafuta vijana (Punda) wa kubeba unga sasa hiyo ni hatari, wapo wenye magenge ya uhalifu nao wanatafuta vijana.
Kaz kaz anayetaka punda sijui ngamia aniPM
 
Back
Top Bottom