LUZYOKELEZI THE 2
Member
- May 20, 2020
- 34
- 66
Wanajukwaaa la ajira na tenda heshima na iwe kwenu.
Mimi ni graduate katika fani ya Mipango miji na vijiji ya chuo kikuu Ardhi (ARU)
Nipo mbele yenu kuomba yeyote yule mwenye connection na kazi yoyote inayohusiana na Taaluma yangu (Mipango miji) au kazi yoyote ambayo haikinzani na sheria za nchi aweze kuniunganisha au kunipatia.
Aidha, baada ya kuhitimu masomo yangu nimekuwa nikifanya kazi na Taasisi binafsi. Pia nimeweza kujitolea katika halmashauri mbalimbali ili kupata uzoefu zaidi.
Hivyo, Kwa yeyote mwenye uhitaji anaweza nicheki PM Kwa mawasiliano zaidi.
Ahsanteni.
Mimi ni graduate katika fani ya Mipango miji na vijiji ya chuo kikuu Ardhi (ARU)
Nipo mbele yenu kuomba yeyote yule mwenye connection na kazi yoyote inayohusiana na Taaluma yangu (Mipango miji) au kazi yoyote ambayo haikinzani na sheria za nchi aweze kuniunganisha au kunipatia.
Aidha, baada ya kuhitimu masomo yangu nimekuwa nikifanya kazi na Taasisi binafsi. Pia nimeweza kujitolea katika halmashauri mbalimbali ili kupata uzoefu zaidi.
Hivyo, Kwa yeyote mwenye uhitaji anaweza nicheki PM Kwa mawasiliano zaidi.
Ahsanteni.