Lorenzo Chizza
Member
- Aug 22, 2016
- 5
- 1
Salaam Wakuu
Mimi ni Kijana mwenye ujuzi kwenye masuala ya utafiti wa masoko (Market research), Mipango , Ufuatiliaji na Utekelezaji, ( Planning, Monitoring and Evaluation), Mikakati na ubunifu (Strategy and innovation).
Elimu yangu ni shahada ya Uzamili kwenye Sayansi ya jamii ya Uchumi (Master's degree of Arts in Economics)..ufaulu wangu ni wa daraja la juu kabisa, nina uzoefu wa miaka kadhaa kwenye field na desk work.
Ninatafuta nafasi kwenye kampuni ndogo ( Immediate startup) au za kati, kwenye kitengo cha ubunifu, Mipango na Masoko. Mimi ni mchapakazi, muadilifu na ninaeaminika.
Nitafurahi kusikia kutoka kwenu nitumie contacts PM nitakujibu... nipo radhi kuanza mara moja.
Mimi ni Kijana mwenye ujuzi kwenye masuala ya utafiti wa masoko (Market research), Mipango , Ufuatiliaji na Utekelezaji, ( Planning, Monitoring and Evaluation), Mikakati na ubunifu (Strategy and innovation).
Elimu yangu ni shahada ya Uzamili kwenye Sayansi ya jamii ya Uchumi (Master's degree of Arts in Economics)..ufaulu wangu ni wa daraja la juu kabisa, nina uzoefu wa miaka kadhaa kwenye field na desk work.
Ninatafuta nafasi kwenye kampuni ndogo ( Immediate startup) au za kati, kwenye kitengo cha ubunifu, Mipango na Masoko. Mimi ni mchapakazi, muadilifu na ninaeaminika.
Nitafurahi kusikia kutoka kwenu nitumie contacts PM nitakujibu... nipo radhi kuanza mara moja.