erick msafiri
New Member
- Apr 5, 2025
- 2
- 4
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,mkazi wa dar es salaam.Nina uhitaji wa kazi yoyote ambayo inaweza kuniingizia kipato.Kazi iwe official au kibarua naweza kukidhi vigezo vyake sababu nina vyeti mbalimbali ikiwemo cha A level na chuo endapo vitahitajika.mawasiliano 0696970622