raoka kubanda
Member
- Jun 13, 2017
- 45
- 24
Jamani mwenye joining instruction za DAKAWA TEACHERS COLLEGE maan dah siwaelewi kabsa jamaa..mpaka post zinatoka ilikuwa nikwamba nisubir mpaka chuo kitakapo wasiliana na mimi...lakin siku zinaenda sijapigiwa simu....wala mawasiliano ya aina yoyote.
Mpaka hivi karibuni nilipoamua kutafuta namba zao.....kisha nikawapigia simu ilipokelewa baada ya siku tatu **3days*** na alipopokea akadai nimtumie email yangu kisha akakata simu...nilituma email yangu lakin mpaka leo hii inakimbilia wiki ya tatu hakuna chochote walichonitumia.
Na nilipo jalbu kuwapigia simu kwa mara nyingine ili niwaulizie....simu haipokelewi mpka kesho... jamani sasa nifanye nn na time ndo inasep knoma.
Mpaka hivi karibuni nilipoamua kutafuta namba zao.....kisha nikawapigia simu ilipokelewa baada ya siku tatu **3days*** na alipopokea akadai nimtumie email yangu kisha akakata simu...nilituma email yangu lakin mpaka leo hii inakimbilia wiki ya tatu hakuna chochote walichonitumia.
Na nilipo jalbu kuwapigia simu kwa mara nyingine ili niwaulizie....simu haipokelewi mpka kesho... jamani sasa nifanye nn na time ndo inasep knoma.