Salaam,
Mimi ni kijana wa miaka 24 na ninaishi Dar es salaam. Nimehitimu shahada ya uhandisi katika fani ya elekrotiniki na mawasiliano mwaka huu. Ningependelea kufanya kati ya mikoa ifuatayo Arusha, Dar au Kilimanjaro. Akhsanteni.
Salaam,
Mimi ni kijana wa miaka 24 na ninaishi Dar es salaam. Nimehitimu shahada ya uhandisi katika fani ya elekrotiniki na mawasiliano mwaka huu. Ningependelea kufanya kati ya mikoa ifuatayo Arusha, Dar au Moshi. Akhsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.