Simu ya mwaka 2008 alafu specs zake ndogo sana niipeleke wapi! Nimeshaweka ANGALIZO ila umekuwa mgumu kuelewa. Nina iPhone 5S na sasa nataka handset ya pili nadhani HTC One ndio itakuwa bora kwangu.Badilisha mawazo nikupe HTC G 1 - Brand new TZs 320,000
Wakuu natafuta HTC One ya kununua, aliyenayo tufanye biashara.
ANGALIZO:Nahitaji HTC One na sio HTC ONE S, sijui HTC One V.