Natafuta housegel

Kigezo kikubwa,asiwe na mvuto kuzidi mama mwenye nyumba
 
wao hawa wanadai marupurupu ya mishahawa kwa waajiri wao wakati huo huo wanalipa kiduchu kwa wafanyakazi wao. Inatakiwa mshahara na marupurupu iwe kama ifuatavyo:-
1. mshahara wa h.girl ni 85,000/= .
2. Kula bure na kulala bure.
3. Matibabu bure akiugua na pia nauli ya kwenda kwao na kurudi kila mwaka pamoja na zawadi kwa wazazi wake (baba na mama)
4. Pesa zipelekwe benki si kumpa mkononi ashauriwe namna ya kutunza pesa
5. apewe ushauri njisi ya kujisaidia yeye mwenyewe in future lets say after 5 to 10 years
6. Awe ni mmoja wa wanafamilia, (asinyanyaswe kwa namna yoyote ile) hapo ataweza kuwapenda ninyi pia pamoja ya watoto wenu

Haya wengi hawayatimizi na ndiyo tatizo kila siku wafanyakazi wanasepa tu unabaki unahangaika kama hivi.
Mkuu taratibu. Hapo kwenye redi ni hasira nini au haraka?
 
Kigezo kikubwa,asiwe na mvuto kuzidi mama mwenye nyumba

unapomtoa kijijini anakuwa mchafu hana mvuto........ ila akipata lishe nzuri ananawiri sana anamzidi hata mama mwenye nyumba, ukiwa na jicho la husda lazima umfanye nyumba ndogo ndani ya nyumba kubwa.

wasichana wa kazi au wa kijijini asilimia kubwa ni wazuri kwa shepu kuliko wa mjini kama huamini mvalishe vizuri pamba za ukweli, saloon kidogo then mlinganishe na mkeo aliyejichubua unapata jibu lake!........... "vile vitu ni original"
 
Halafu we mwanaume una balaa hapo kwenye red unazungumzia nini?

unapomtoa kijijini anakuwa mchafu hana mvuto........ ila akipata lishe nzuri ananawiri sana anamzidi hata mama mwenye nyumba, ukiwa na jicho la husda lazima umfanye nyumba ndogo ndani ya nyumba kubwa.

wasichana wa kazi au wa kijijini asilimia kubwa ni wazuri kwa shepu kuliko wa mjini kama huamini mvalishe vizuri pamba za ukweli, saloon kidogo then mlinganishe na mkeo aliyejichubua unapata jibu lake!........... "vile vitu ni original"



 
Maisha yanatofautiana sana ndugu zangu! Kama mshahara wangu ni lakimoja nanusu (150,000), nikitoa 70 ya house girl unategemea nini?
Cha muhimu ni maelewano kati yamwajiri na mwajiriwa; benefits ndogondogo na mazingira mazuri ya kufanyia kazi. Sikatai, kuna jirani yangu ana house gir na houseboy; anawalipa 260,000 kila mmoja na gharama nyingine, they are professionals na anauwezo wa kuwalipa !
 
Halafu we mwanaume una balaa hapo kwenye red unazungumzia nini?

Originally Posted by Dr wa ukweli
unapomtoa kijijini anakuwa mchafu hana mvuto........ ila akipata lishe nzuri ananawiri sana anamzidi hata mama mwenye nyumba, ukiwa na jicho la husda lazima umfanye nyumba ndogo ndani ya nyumba kubwa.

wasichana wa kazi au wa kijijini asilimia kubwa ni wazuri kwa shepu kuliko wa mjini kama huamini mvalishe vizuri pamba za ukweli, saloon kidogo then mlinganishe na mkeo aliyejichubua unapata jibu lake!........... "vile vitu ni original"


[/COLOR]

ndio ukweli mara nyingi kwa sura then wakivaa vizuri anamzidi mama mwenye nyumba!
 
jamani hata hiyo 30,000 ni nyingi,mm nna mtoto mmoja wa mwaka,lakini kumpunguzia kazi nimeamua kutafuta wa2,mmoja afanye shughuli za nyumbani mwingine mtoto.kufua kwenyewe watoto wanavaa pamper kazi zinapungua mtu hufui sananikimpa yeye hata hiyo 60,000 peke yake na adeki,afue,amuangalie mtoto,apike nimeona mtu anaweza choka,sasa kipi bora,nikupe 60,000.ufanye yote hayo ama muwe 2?nalo pia la kuangalia tusiweke pesa mbele utu kwanza,la basi wakafanye kwa wahindi,mshahara 80,000 mpaka 100,000 ila kazi kufanya wala hakuna muda wa kupumzika.mshahara wa serikali kima 365,000 -kodi,paye,michango ya harusi n.k bado housegirl 80,000 ale.alale.nimtibie kwangu?!!!!!!!!!!!!!! basi aende kwa RA
 
Kama unataka Housegirl na uko serious niPM then ntakupatia namba yangu ili tuongee, ila kuna maangalizo kadhaa uweze kuyatimiza

1. Hatupeleki housegirl kwa bachelors( Lazima uwe umeoa kama ni mwanaume)
2.Mshahara ni kuanzia 40,000 hadi 150000 kutegemeana na aina ya kazi,ukubwa wa nyumba na aina ya Housegirl unayetaka(Wapo hadi wenye vyeti vya veta)
3.Uwe tayari kutoa likizo ya siku zisizopungua 21 kwa mwaka.
4.Matibabu,malazi,chakula na other necessities ni juu yako( Umfanye awe part of family)
5.Kuna watoto wa kuanzia miaka 17 hadi wamama wa miaka 30 kwahiyo chaguo ni lako na gharama ndo zinatofautiana pia kutokana na uzoefu
6.Uhakikishe unaweka utaratibu wa kuwasiliana na wazazi wake mara kwa mara, mara nyingi huwa ni kila weekend aongee na wazazi wake huko mkoani kwa simu kwasababu hawa wadogo wengi wanatokea Tanga(Haswa handeni na Lushoto), Singida na Iringa so ni wageni na wazazi wanahitaji assurance fulani.
7.Na mwisho ambayo ni muhimu kabisa ujue akipatikana nauli ya kumleta utalipia wewe(Mara nyingi huwa ni siku 3 hadi 7 kuanzia kutoa oda) na pia utachajiwa pesa kwa ajili ya huduma hii(Mara nyingi ni sawa Pay ya mshahara mmoja au so)

Serious people PM me then tufanye mipango
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom