Natafuta House Manager

Naona kijiwe kimepamba moto Mr Pixel3a anadai natafuta mke, na multiple anasema mbinu ni zile zile za mabaharia. Sasa jamani, soga zenu hazisafishi nyumba wala hazipiki chapati

Kama unajua binti mweupe, hana mtoto, na yuko tayari kwa kazi
nitumie picha yake DM sasa hivi.
 
Naitwa Ayatollah secretarybird wa JF. Hivyo unapoongea nami kuwa na rundo la heshima.

Cc Payge, Cookie, Paw, Active.
 
Naitwa Ayatollah secretarybird wa JF. Hivyo unapoongea nami kuwa na rundo la heshima.

Cc Payge, Cookie, Paw, Active.
Ili kuuthibitisha huo Uayatollah wako omba ruhusa kutoka kwa Moderators wa JamiiForums na Mmiliki wake Maxence Melo ya Vita yangu ya Maneno Makali na Machafu hapa JamiiForums (na wanihakikishie tu kuwa hawatonipa BAN) ili nikunyooshe vilivyo na ujue kuwa sina Mpinzani katika hiyo Vita hapa JamiiForums na hatotokea Watakuheshimu hao Wapumbavu na Wanaume wa Visu vya Mkunjo wenzako ila siyo Mimi.

Cc: Reviser, Payge, Cookie, Paw, YinYang, Active, Moderator, Fang, Wand, Mhariri, Bridger, Principled, Refiner, celix, Xyln and JamiiForums Founder Maxence Melo
 
Piganeni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…