Natafuta House Manager

Unaitafutia humu jf kumbe?
Huko shamba unapotaka kwenda mashangazi utayapaje sasa mkuu?
Mmmh huku nakimbia mishangazi ndio mana nataka nijitenge mi sizani kama mishangazi itakua na faida tena kwangu
 
Sifa za mke pia hazitofautiani na hayo ya mfanyakazi wa ndani, hapo n ndege wawili kwa jiwe moja
 
Muonekano: Awe mweupe (rangi ya mtume), maana nataka nyumba iwe na mwanga muda wote hata umeme ukikatika.
Sema unatafuta Mke
Mkuu mambo ya all-in-one ndio mpango wa mjini sasa hivi. Huoni hata simu unayotumia ina redio, tochi, na kamera kwa mpigo? Na mimi hapa natafuta Full Package mfanyakazi anayeng'aa kama balbu
 
Vuta subira kidogo Mkuu waongeze CV zao maana VETA tayari wameanzisha kozi mpya ya 'Utunzaji wa Nyumba' kwa vijana wetu wenye elimu kuanzia darasa la saba, lengo ikiwa kutanua wigo wa soko la ajira hasa huko ughaibuni
Sawa mkuu
 
Mkuu mambo ya all-in-one ndio mpango wa mjini sasa hivi. Huoni hata simu unayotumia ina redio, tochi, na kamera kwa mpigo? Na mimi hapa natafuta Full Package mfanyakazi anayeng'aa kama balbu
Uko aggresive kutokea pembeni chiefπŸ˜…
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…