Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,407
- 54,849
Mmmh huku nakimbia mishangazi ndio mana nataka nijitenge mi sizani kama mishangazi itakua na faida tena kwanguUnaitafutia humu jf kumbe?
Huko shamba unapotaka kwenda mashangazi utayapaje sasa mkuu?
Hataniweza yule cheusi mangala.Aise hii lazma aione mwenyew ikiwezekana akufungulie shaur GENTAMYCINE
Mkuu mambo ya all-in-one ndio mpango wa mjini sasa hivi. Huoni hata simu unayotumia ina redio, tochi, na kamera kwa mpigo? Na mimi hapa natafuta Full Package mfanyakazi anayeng'aa kama balbuMuonekano: Awe mweupe (rangi ya mtume), maana nataka nyumba iwe na mwanga muda wote hata umeme ukikatika.
Sema unatafuta Mke
Kwahyo unatafuta mkeHapana sina mke
Mmmh yeye amesema anataka mdda wa kazi ujue πππππ
Uko aggresive kutokea pembeni chiefπMkuu mambo ya all-in-one ndio mpango wa mjini sasa hivi. Huoni hata simu unayotumia ina redio, tochi, na kamera kwa mpigo? Na mimi hapa natafuta Full Package mfanyakazi anayeng'aa kama balbu
Huyu baharia jau sana ππππAnatafutwa meneja, kama wale wa wasanii...
Mcheki PMYukuwapi
Huyu jamaa anatafuta mke na asiwe Single mother wenye D2 tumeshaelewaMuonekano: Awe mweupe (rangi ya mtume), maana nataka nyumba iwe na mwanga muda wote hata umeme ukikatika.
Sema unatafuta Mkeπ
Tuliosoma Cuba tumemsoma kitamboHuyu jamaa anatafuta mke na asiwe Single mother wenye D2 tumeshaelewa