Irene marwa
Member
- Jul 25, 2020
- 35
- 36
Kama title inavyojieleza mimi nasoma chuo cha taifa cha utalii naomba mwenye nafasi au connection niweze kufanya field nipo Dar es Salaam pia nina uzoefu na mambo ya telephone operations na customer care.
Zanzibar vip?
Hauna ndugu wa kuweza kukupa hifadhi ukaenda kufanua hiyo field zanzibar??kama kweli unataka kitu lazima ukipambanie haijalish mazingira ni lazima upambane..Hapana nahitaji hapa hapa dar maana ndo itakuwa rahisi kwangu mimi kufika
Hauna ndugu wa kuweza kukupa hifadhi ukaenda kufanua hiyo field zanzibar??kama kweli unataka kitu lazima ukipambanie haijalish mazingira ni lazima upambane..
Ohoooo....kama uko chuo mbona unapata shida sasa..kwa ninavyofahamu chuo huwa kinakuwa na connection na hotels ambazo wanafunzi wa chuo husika wanaenda kufanya field hapo.Ni kweli lakini shida ni kuwa bado nipo chuoni ambapo inabidi niingie asubuhi alafu jioni ndo naingia chuoni