Natafuta gari

Mkuu inabidi uweke details vzr useme unataka namba gani kama C au D naww una kiasi gani...
 
Engine gani kuna 1.8, na D4 kuna 4s kavu, kuna 5A ongea vizuri acha brabra.
 
Mkuu mm ninayo nauza kwani sasa. Nimenunua wish.,inahitajika milioni 3 tu.iko vizuri saaana spidi 260,
b0462f158d9c70af14584873385b2db1.jpg
91fc592c8ca0098986b8296cf2a64444.jpg
755e2224aabbdbbf852cce55dc60d10a.jpg

Vibali vyote fresh tu.wewe tu namba 0689799999 ,mm nauza roho inaniuma maana kwa mwendo hapa hatari ,haina tatizo isipookuwa AC gas imeisha,taa ya mbele moja imepasuka,na Ndani ni kuosha
 
Mkuu mm ninayo nauza kwani sasa. Nimenunua wish.,inahitajika milioni 3 tu.iko vizuri saaana spidi 260,
b0462f158d9c70af14584873385b2db1.jpg
91fc592c8ca0098986b8296cf2a64444.jpg
755e2224aabbdbbf852cce55dc60d10a.jpg

Vibali vyote fresh tu.wewe tu namba 0689799999 ,mm nauza roho inaniuma maana kwa mwendo hapa hatari ,haina tatizo isipookuwa AC gas imeisha,taa ya mbele moja imepasuka,na Ndani ni kuosha
Engen gan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom