Natafuta gari ya kununua isizidi mil 3

Natafuta gari ya kununua isizidi mil 3

mimibilly

Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
35
Reaction score
10
Mimi ni mtanzania ninayepatikana dar es salaam natafuta gar ya kununua aina ya yeyote yenye condition nzuri bt especially vitz,mazda demio au starlet,serious sellers contact me 0785 853297 au 0713 458678
 
Mimi ninayo ya kuuza milioni 1 Bitto mgongo wa chura itakufaa sana.Ni pm mkuu.

Ina cc ngapi,ya mwaka gani napenda old model inayoelea kwenye maji kama boti,na isiwe na kutu ,nipe picha
 
Mimi ni mtanzania ninayepatikana dar es salaam natafuta gar ya kununua aina ya yeyote yenye condition nzuri bt especially vitz,mazda demio au starlet,serious sellers contact me 0785 853297 au 0713 458678

kwa aina hizo hapo juu sijui kama utapata,mi nina toyota limited inatembea na aniuza kwa bei uliyoitaja,tuwasiliane 0784 548 641
 
Kuna mtu ana Jeep?ninasaka kwa udi na uvumba !
 
Lete hela nkupe gets hynday 2006, manual 62,000km; bei Au$4500
ImageUploadedByJamiiForums1399622278.964288.jpg ImageUploadedByJamiiForums1399622301.306687.jpg ImageUploadedByJamiiForums1399622357.718686.jpg ImageUploadedByJamiiForums1399622382.034704.jpg

No scratches, no leakage niPm
 
Ina cc ngapi,ya mwaka gani napenda old model inayoelea kwenye maji kama boti,na isiwe na kutu ,nipe picha

Mkuu usiogope kutu japo inayo kidogo.yangu inaelea baharini kila weekend naenda nayo dar -Pemba.
 
hiyo hela kamata BOXER mbili fasta. moja yako nyingine ya mkeo.
 
Mimi ni mtanzania ninayepatikana dar es salaam natafuta gar ya kununua aina ya yeyote yenye condition nzuri bt especially vitz,mazda demio au starlet,serious sellers contact me 0785 853297 au 0713 458678[/QUOTE
Hivi bajaji na yenyewe si gari?
 
kwa hizo bei unaweza kupata GX100 mark II, Mark II baloon starlet au ubahatishe Suzuki swift iliyotumika.

kama upo okay nina baloon zuri sana wewe ni kubadili kioo tu unapiga zako posta, vibali vyote vipo.

karibu.

achana na wanaokuogopesha hupati gari zipo nyingi tu ila sasa zinakua na short comings mfano baloon ilishapitwa na wakati na inakula sana mafuta. gx100 mark II pia inakula sana wese.

ongeza kama 2m nikupe fun cargo uta enjoy sana
 
Ipi vits..imeua engine ila gari safii..engine laki 7 hapo dar..inauzwa mil 2.3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom