Habari za asubuhi wana jamiii.
Natafuta gari ya kukodi kwa muda wa siku mbili, dereva na mafuta juu yetu, bajeti 100000/= kwa siku mbili zote.
Mwenye nayo ani pm
Hebu jieleze vzr mkuu! Gari aina gani ndogo kubwa, maffuta vp? Dereva ana posho hana na ni safari ya wapi! Mizunguko ya town au? Manake ukitaka gari ya kwenda kuolea au kubeba wakwe hapo ndio mi nahusika! Nakupa kitu cha ukweli
du bajati laki moja for 2 days, hata kama hujasema unataka gar ya namna gani , mtu sana sana atakupa colora ya mwaka 92, no A/c, power window hazifanyi kazi, na tair n vipara.
Hembu fikirieni.laki moja kwa siku mbili?
Halafu only 2post.
Dereva juu yao,hapo naona kama watu wanapiga issue halafu wanaitelekeza gari.Kisha msala kwa mmiliki
Hembu fikirieni.laki moja kwa siku mbili?
Halafu only 2post.
Dereva juu yao,hapo naona kama watu wanapiga issue halafu wanaitelekeza gari.Kisha msala kwa mmiliki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.