Natafuta gari ya kubebea abiria ( Haice)

Natafuta gari ya kubebea abiria ( Haice)

Joined
Aug 11, 2020
Posts
24
Reaction score
16
Ndugu wanajamvi.

Naitwa Saidi mkazi wa Pugu wilaya ya Ilala mkoa wa Dar es salaam natafuta gari ya abilia haice kwa ya kubebea abilia wilaya ya kisalawe kutoka kigogo sokoni kwenda msanga mpaka maneromango njia ni laugh road.

Hesabu kwa trip 60000 nikipiga trip mbili kwa Siku inakuwa 100000. Kwa yeyeto mwenye chombo na yupo tayari tufanye kazi basis tuwasiliane.

0783213411, 0712378559.
Thanks
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom