Natafuta gari used

Natafuta gari used

takrima

Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
18
Reaction score
7
natafta gar used yenye usajili wa kuanzia C au D nina bajet ya 7.5m isiyo na deni lolote wala majanga.my preference

1.ist
2.raum
3.nisan note
 
natafta gar used yenye usajili wa kuanzia C au D nina bajet ya 7.5m isiyo na deni lolote wala majanga.my preference

1.ist
2.raum
3.nisan note
Nna Ist rangi ya silver,namba c,gari Iko vizuri sana
 
1479730255276.jpg
Hii hapa Ist nilikua nauza 7.8 Lakini tunaweza kuongea hiyo 7.5
 
Oky mkuu ni Toyota Passo ya mwaka 2005 namba ya usajili DEX mapema kesho nitapiga picha niweke hapa
Bei 6.8ml
 
Back
Top Bottom