Natafuta Gari used, nina milioni 4

Natafuta Gari used, nina milioni 4

Leta huo mkwanja nkuuzie hii noah
1474846131634.jpg
1474846159885.jpg
1474846182672.jpg
 
Gari M4 kwasasa kweli unatafuta undugu na mafundi garage ila yapo mazuri pia chamuhimu kabla hujanunua lichunguze kwanza
 
Wacheki instagram hawa jamaa @magari_usedtz utapata gari kwa fedha yako hiyo..ila ni vizuri kulikagua kwanza
 
Gari M4 kwasasa kweli unatafuta undugu na mafundi garage ila yapo mazuri pia chamuhimu kabla hujanunua lichunguze kwanza
Tusikariri ubora wa gari kuwa ni lile la bei mbaya, la sivyo. Mbona mi nimenunua gari la 1996 hivi sasa September, kwa bei hiyo na linapiga mzigo vizuri tu, nakata safari za mikoani bila wasiwasi, wese tu ndio mtaji wa kuliendesha. Cha msingi akague na kujiridhisha na history ya gari na jinsi lilivyotumika kabla ya yeye kuuziwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom