Natafuta gari, nina 2,500,000/= Tshs

Natafuta gari, nina 2,500,000/= Tshs

mimi ninalo liko kwenye hali nzuri. bei itapungua kidogo
old.jpg
 
Nitakujulisha.....kuna jamaa analo lakini halijalipiwa road licence miaka tisa.yeye analitumia ki alwatan na anajuwa madhara yake ndio maana analiuza
 
Iyoo hela kupata gari ni Ngumu utapata kimeo. Endelea kuchanga changa upate nzuri zaidi.
 
Nitakujulisha.....kuna jamaa analo lakini halijalipiwa road licence miaka tisa.yeye analitumia ki alwatan na anajuwa madhara yake ndio maana analiuza

Duuh.. Hiyo hesabu ya leseni ya barabarani ya miaka tisa ukijumlisha na faini nadhani inapita hiyo Tshs. 2,500,000.00..!
 
Jipe moyo utapata maana waweza kumkuta mtu anahitaji hela hiyo ili aingize jingine
 
Iyoo hela kupata gari ni Ngumu utapata kimeo. Endelea kuchanga changa upate nzuri zaidi.


Acha kukariri juzi jirani yangu kauza Baloon nzuri tu M1.5 na ilikua na deni la kilo 8 TRA...

GARI atapata tena lenye hali nzuri tu coz siku hizi Magari sio issue kabisa hasa Yale outdated......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom