jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,646
Natafuta gari ya kutembelea Ford nina milion 2 na nusu.
Ungekuwa na milioni saba ungepata ford ranger kama zile za maafisa wa jeshi au usalama wa taifa. Ipo vizur namba B ila inasumbua kuwaka coz ya nosel
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ungekuwa na milioni saba ungepata ford ranger kama zile za maafisa wa jeshi au usalama wa taifa. Ipo vizur namba B ila inasumbua kuwaka coz ya nosel
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
NtakupmNi ya mwaka gani hiyo ranger yako? unaweza kueka picha?
Kwa hiyo kwa hyo bei siwez pata ford kokote au naweza pata