wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,865
Uongo,yako mengi barabarani labda kama uko huko koromije na yanayauzwa mengi tu.Ingia Kupatana au jiji yanauzwa mengi kichizi.Wewe ukiona gari mbili ndo useme ni nyingi, kati ya magari 1000 utakuta hiyo ford moja au ukakosa kabisa