nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,701
- 14,104
Rejea kichwa cha habari,najaribu kuangalia uwezekano wa kupata GARI la biashara hasa basi.
Mtindo wa malipo ni kwa installment Kadiri tutakavyokubaliana.
Down payments ipo kulingana na dhamani ya basi.Hata kama halitembei (bovu) nipo tayari kulichukua.
Napatikana dar es salaam,
Namshukuruni sana.
Mtindo wa malipo ni kwa installment Kadiri tutakavyokubaliana.
Down payments ipo kulingana na dhamani ya basi.Hata kama halitembei (bovu) nipo tayari kulichukua.
Napatikana dar es salaam,
Namshukuruni sana.