Natafuta Fundi wa water dispenser

Natafuta Fundi wa water dispenser

Mtumishi Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
259
Reaction score
93
Wandugu, habari ya asubuhi? Shida yangu ni kwamba dispense yangu haipoozi. Maji ya moto ninapata vizuri tu ila sehemu ya maji baridi ndo tatizo. Ninaishi kimara bonyokwa. Fundi anayeweza kulitatua tatizo langu tafadhali tuwasiliane kwenye 0758 407409
 
Nasubiri kwa hamu, mimi sipati maji ya moto

Wandugu, habari ya asubuhi? Shida yangu ni kwamba dispense yangu haipoozi. Maji ya moto ninapata vizuri tu ila sehemu ya maji baridi ndo tatizo. Ninaishi kimara bonyokwa. Fundi anayeweza kulitatua tatizo langu tafadhali tuwasiliane kwenye 0758 407409
 
hivi water dispenser ikichomekwa kwenye umeme isiwake , solution ni ipi ?
 
Back
Top Bottom