Natafuta fundi wa kutengeneza bafu la kisasa

Natafuta fundi wa kutengeneza bafu la kisasa

mlimbwende

Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
74
Reaction score
26
Wadau,

Mwenye kumfahamu fundi mzuri wa mabafu (I mean sink za bafuni, sink za kuogea na vyoo) anipatie namba zake
 
Wasiliana na yule dada wa Kipindi cha UJENZI cha EATv.
Ukitaka fundi yoyote anakuwa na contacts zao,maana kipindi chake kina kuwa kina involve mafundi makini na wenye taaluma zao.
Ingia facebook nahisi utapata mawasiliano yake
 
Back
Top Bottom