hapana mkuu,kuna ndugu yang aliminya hii pc na usb ndo screen ikaharibika,afu na hili la chaji sielewi limetoka.kingne ni kwamba naipenda sana hii pc baada ya familia yang inafata yenyew na ni toshiba model ya zaman bado ni nzuri na iko vzur kwa kila kitu...sipo tayar kuipoteza.