Natafuta fundi Mzuri wa Laptop charging system

Natafuta fundi Mzuri wa Laptop charging system

Mythbuster

Member
Joined
Dec 12, 2010
Posts
92
Reaction score
50
Wakuu za kwenu?
laptop yangu aina ya Dell imekuwa kama desktop kwani inawaka nikiweka adapter kwenye Umeme tuu, Nikiiitoa inazimika papo hapo. Nimejaribu kununua betri Mpya lakini imeendelea kuwa vivyo hivyo. Imepelekea Kuamini kuwa tatizo la laptop hiyo in charging system. Naomba Kama kuna mtu anamjua fundi Mzuri wa tatizo Kama hilo anielekeze nikamuone.
 
Inawezekana tatzo co charging system angalia power settings zako pengine low batery level iko set kwa asilimia kubwa so hata battery ikiwa full inaenekana ipo low battery
 
Wasiliana nami kwa whatsup +254739290104 niko biharamulo battery iko mzima ila jaribu kuchagi laptop ikiwa off ikishajaa ona kama inawaka bila stima ikigoma nitatatua tatizo
 
Inawezekana tatzo co charging system angalia power settings zako pengine low batery level iko set kwa asilimia kubwa so hata battery ikiwa full inaenekana ipo low battery

Karibu katika ulimwengu wa troubleshooting,kuset low battery katika asilimia kubwa hakuifanyi battery iwe low kiuharisia,hiyo ni maneno tu unataka message ya low battery ije muda gani.Haihusiani kabisa na computer kuzimika kisa imesema low battery na battery iko say 50% kama battery ni nzima haitazima.
Huyu bwana power haiwi supplied kunako husika kwa hiyo anatakiwa angalie njia ambako battery inasupply power.So yuko sahihi kuanza na charging system.
 
Back
Top Bottom