Natafuta flat screen Tv Inch 21-24

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,976
Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake hapa jukwaani.
Mimi nipo Arusha.

Asanteni wote.!
 
Me nipo dar nina samsang led 23'f4003 inaking'amuzi ndan yake nimei2mia ndan ya miez2 na warrant yake bado ipo box na remote iko powa kabisa bei 400,000 0764616353
 
Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake hapa jukwaani.
Mimi nipo Arusha.

Asanteni wote.!

Taja bajet Yako... Upate mzgo
 
Me nipo dar nina samsang led 23'f4003 inaking'amuzi ndan yake nimei2mia ndan ya miez2 na warrant yake bado ipo box na remote iko powa kabisa bei 400,000 0764616353
Ina king'amuzi cha aina gani Star Times au.? kipo ndani ya Tv au,sema bei yako ya mwisho ikiwezekana weka na picha ikishindikana sema rangi ya Tv yako.
 
Taja bajet Yako... Upate mzgo
Mwenye mali ndiyo anayeanza kusema bei, kikubwa bei inategemeana na quality ya Tv.Kama unayo sema aina yake na bei yake ikiwezekana tupia picha hapo jamvini.!
 
Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake hapa jukwaani.
Mimi nipo Arusha.

Asanteni wote.!

Ninayo bush flat screen unaweza ukaitumia pia kama pc screen remote ilipotea lkn iko ktk hali nzuri ni inch 24 nauza 300,000


Sent from my iPhone 5c using JamiiForums
 
Ninayo bush flat screen unaweza ukaitumia pia kama pc screen remote ilipotea lkn iko ktk hali nzuri ni inch 24 nauza 300,000


Sent from my iPhone 5c using JamiiForums
Asante kwa taarifa,shida hapo ni hiyo rimoti siwezi nunua Tv,then nisiwe na uhuru nayo,nahisi hiyo itakuwa ni mtumba kutoka Ughaibuni via Zenji.!
 
Me nipo dar nina samsang led 23'f4003 inaking'amuzi ndan yake nimei2mia ndan ya miez2 na warrant yake bado ipo box na remote iko powa kabisa bei 400,000 0764616353

Ni nchi ngapi mkuu hiyo tv
 
3 years ago. ngoma imeibuliwa leo. we unaeuza sema unauza tv gani na bei weka na picha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…