Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake hapa jukwaani.
Mimi nipo Arusha.
Me nipo dar nina samsang led 23'f4003 inaking'amuzi ndan yake nimei2mia ndan ya miez2 na warrant yake bado ipo box na remote iko powa kabisa bei 400,000 0764616353
Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake hapa jukwaani.
Mimi nipo Arusha.
Me nipo dar nina samsang led 23'f4003 inaking'amuzi ndan yake nimei2mia ndan ya miez2 na warrant yake bado ipo box na remote iko powa kabisa bei 400,000 0764616353
Ina king'amuzi cha aina gani Star Times au.? kipo ndani ya Tv au,sema bei yako ya mwisho ikiwezekana weka na picha ikishindikana sema rangi ya Tv yako.
Mwenye mali ndiyo anayeanza kusema bei, kikubwa bei inategemeana na quality ya Tv.Kama unayo sema aina yake na bei yake ikiwezekana tupia picha hapo jamvini.!
Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake hapa jukwaani.
Mimi nipo Arusha.
Me nipo dar nina samsang led 23'f4003 inaking'amuzi ndan yake nimei2mia ndan ya miez2 na warrant yake bado ipo box na remote iko powa kabisa bei 400,000 0764616353