wadau nlikua natafuta eneo zuri hv la biashara ya chips ambayo isiwe ya bei ghali saana kama chini ya laki moja hv ambayo local local ila kuna wateja weng na lamechangamka maana nmesumbuka sana kutafta
na kama ni town sana juu ya 100k hko ckuwez naomben mnijuze sehem ya kawaida tu yenye kulipa ambapo amna ushindan saana
MM NPO DAR
na kama ni town sana juu ya 100k hko ckuwez naomben mnijuze sehem ya kawaida tu yenye kulipa ambapo amna ushindan saana
MM NPO DAR
