SamuraiJack JF-Expert Member Dec 24, 2017 220 235 Sep 6, 2019 #1 Habari za asubuhi wadau? Natafuta eneo la jiko la kukodisha kwenye bar au eneo lolote lenye mzunguko wa watu. Mwenye info ani PM.
Habari za asubuhi wadau? Natafuta eneo la jiko la kukodisha kwenye bar au eneo lolote lenye mzunguko wa watu. Mwenye info ani PM.
Zionist JF-Expert Member Dec 5, 2017 1,830 2,882 Sep 6, 2019 #3 Mbona hujasema mkoa gani ? Au popote nchini unaenda ? Hata kwa kina Muraa.. ?
SamuraiJack JF-Expert Member Dec 24, 2017 220 235 Sep 9, 2019 Thread starter #4 Zionist said: Mbona hujasema mkoa gani ? Au popote nchini unaenda ? Hata kwa kina Muraa.. ? Click to expand... Naongelea kwa dar
Zionist said: Mbona hujasema mkoa gani ? Au popote nchini unaenda ? Hata kwa kina Muraa.. ? Click to expand... Naongelea kwa dar
SamuraiJack JF-Expert Member Dec 24, 2017 220 235 Sep 9, 2019 Thread starter #5 monopoly inc said: Nenda kawe Club Laroca Click to expand... ipo wapi mkuu?
monopoly inc JF-Expert Member Dec 20, 2016 5,265 11,307 Sep 9, 2019 #6 SamuraiJack said: ipo wapi mkuu? Click to expand... Kawe dar
SamuraiJack JF-Expert Member Dec 24, 2017 220 235 Sep 12, 2019 Thread starter #8 morgan fisherman said: Nkajua unatafta jiko =mke Click to expand... Hapana mkuu