Natafuta eneo kubwa la ardhi Babati Mjini

Natafuta eneo kubwa la ardhi Babati Mjini

Banjuka

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2021
Posts
1,006
Reaction score
1,931
Habari za leo wakuu?

Natafuta eneo kubwa la ardhi (Babati Manyara)mjini liwe karibu na barabara ya lami umeme na maji viwepo karibu na eneo.

Bajeti yangu milioni tano keshi.
 
Eneo kubwa nna maana ya kuwa niweke mifugo na nyumba za wasaidizì.
Wewe jamaa acha uchagga basi mangi 😅😅😅 yaani buashe milioni 5 keshi hupati eneo kubwa la barabara eti hapo babati mjini/manispaa.

Kama una milioni 20 ni PM nikupe eneo kubwa babati.
 
Wewe jamaa acha uchagga basi mangi yaani buashe milioni 5 keshi hupati eneo kubwa la barabara eti hapo babati mjini/manispaa.

Kama una milioni 20 ni PM nikupe eneo kubwa babati.
20milion ni shamba kubwa kiasi gani Mkuu?
 
20milion ni shamba kubwa kiasi gani Mkuu?
Unatafuta shamba kumbe mkuu nikajua eneo la kiwanja mjini. Kama ni shamba sisi ndiyo tunahitaji kujua ni ukubwa gani unahitaji mfano ekari moja au nusu ekari. Milioni 5 unaweza otea nusu ekari ya shamba.
 
Unatafuta shamba kumbe mkuu nikajua eneo la kiwanja mjini. Kama ni shamba sisi ndiyo tunahitaji kujua ni ukubwa gani unahitaji mfano ekari moja au nusu ekari. Milioni 5 unaweza otea nusu ekari ya shamba.
Ndiyo nataka eneo kubwa. Hata likipatikana ekari 3 sawa tu.
 
Njoo pm nikuunganishe na dada yangu anauza eneo lake pale babati karibu na ziwa babati, lina kama nusu heka ila ni zuri sana.
 
Eneo kubwa nna maana ya kuwa niweke mifugo na nyumba za wasaidizì.
Watanzania kujieleza tukaeleweka ni tatizo. Mfumo wa elimu kutumikia chama ni shida kubwa sana.
 
Njoo pm nikuunganishe na dada yangu anauza eneo lake pale babati karibu na ziwa babati, lina kama nusu heka ila ni zuri sana.
... anataka aweke mifugo na nyumba za wasaidizi anavyodai mwenyewe.
 
Bareko pale utapata lakini kwa babati mjini huwezi mkuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom