Natafuta dawa ya kienyeji ya kutibu malaria

Unakadiria vipi doze mkuu?! Halafu utaratibu wa kutumia ukoje?

Mimi huwa naiosha vizuri naikatakata vipande vidogo vidogo, baada ya hapo nailoweka kwa muda wa saa 2-3.. Dose huwa natumia kutwa mara 3 yaani Asubuhi, mchana na jioni..( kikombe kimoja kimoja cha chai mara hizo 3).Homahoma, Malaria...kichwa kuumwa na hata mvurugiko huisha nikitumia Aloevera


NB; Haishauriwi kuichemsha kwani wanasema utaipunguzia uwezo wake..
-Pia muda mwingine huleta maudhi madogomadogo ( ambayo huwa ya muda tu) kwa baadhi ya watumiaji. mfano kichefuchefu..kuhisi kutapika na kusikia kizunguzungu
 
Back
Top Bottom