Natafuta Dada wa kazi ( kwa haraka)

Natafuta Dada wa kazi ( kwa haraka)

Nessa mbise

Member
Joined
Dec 12, 2018
Posts
21
Reaction score
19
Natafuta Dada wa kazi atakayeweza kulea mtoto wa miezi minne.
Sehemu ni kinondoni-Dar es salaam.
Mshahara maelewano. Atakayekuwa naye anitafute kupitia 0738787009
 
Natafuta Dada wa kazi atakayeweza kulea mtoto wa miezi minne.
Sehemu ni kinondoni-Dar es salaam.
Mshahara maelewano. Atakayekuwa naye anitafute kupitia 0738787009
Wewe mama mtoto utakua wapi kuacha mtoto wa miezi 4. na mtu wakutafuta mitandaoni....duh wa mama wasiku hizi ni bomb huruma ya mzazi mna zero.
 
Wewe mama mtoto utakua wapi kuacha mtoto wa miezi 4. na mtu wakutafuta mitandaoni....duh wa mama wasiku hizi ni bomb huruma ya mzazi mna zero.
Nina kazi na matenity leave imeisha Mimi sio mama bomb kipindi chote nmemlea mwenyewe mwanangu
 
Kwenye mshahara ungetaja figure kabisa! Sema hata 200,000+ kutegemea na performance. Utapata chap
 
Very bad idea kukurupuka kutafuta binti wa kulea kichanga tena kwenye mitandao.

Am telling you as a Mom.

Mchukue hata mdogo wako ama ndugu aisee or take time kufanya scouting ya wadada wa kazi. But don't rush.

Kuna agencies wanaokuwaga na mabinti wa kazi ambao I would recommend as a last resort. Because only you knows what is pushing you to make you leave a little one to be raised by a doemstic manager.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom