Karibu mkuu,
Me nina miaka 2 miwili huku ni kuzuri kimazingira,hali ya hewa,huduma za jamii,maisha ni nafuu.
Kuhusu hiko chuo cha Sumbawanga Clinical Officer nakifahamu kina mazingira mazuri ya kusomea kwa ujumla ni chuo kinachomfaa hasa mtu aliye na mwamko wa kusoma.
Shida ni kama ataweza kuendana na kasi ya vipindi vya darasani na hali ya hewa hasa baridi la huku.
All in All, mwambie dogo ajipange kwelikweli msuli wa Sumbawanga Clinical Officer Training Center si wa mchezo...Wengi wao huzoa sup.
Karibu Sana Mkuu.