Natafuta co-founder

labda nkufundishe kitu, hakunaga unique idea kama unavodhan watu wanauliza maelezo zaidi ii wajue wanafit vp kwenye hilo wazo, huezi ukasema tu natakaw atu wa kufanya nao kazi alafu umemaliza

- ecommerce zipo nyingi sna bongo usidhan uko unique sana na kutengeneza ecommerce ni rahisi sana nadhan ndo first project ya kila mwana chuo, yaaani its very very easy unaweza generate code za ecommerce full ndan ya dakika 3

kuna jamaa anafanyaga tutorial mbongo alishawahi kupiga pia hiki:

View: https://www.youtube.com/watch?v=hhTPdOMCzE8&t=6704s&pp=ygUIcm9kbGlpbmU%3D

yaaani the thing ni ecommerce mtu yoyote ata kama hajui programming anaweza kutengeneza the fact apa ni kama unataka kufanya collabo kila mtu ana angle yake ya kukusaidia other wise ndo umeanza kama mtu mpya kwenye game
 
ukitaka kufanikiwa lazima uwe exceptional , kukaa na kusema nna idea 100% hiwezi toka
 
Ndo ujiulize wewe unabaki nyuma mpka lini amkaa sasa
Niamke niende wapi🀣🀣🀣 mmesema bongo hakuna investor...ni uongo sababu matajiri wamejaa kibao ni kuwatafuta na kuwaendea na kuwashawishi wawekeze kwako na project yako.
 
Niamke niende wapi🀣🀣🀣 mmesema bongo hakuna investor...ni uongo sababu matajiri wamejaa kibao ni kuwatafuta na kuwaendea na kuwashawishi wawekeze kwako na project yako.
ata apa unaweza pata alafu sio lazima uwekezaji uwe ela unaweza kumconnect mtu ikawa mtaji mkubwa
 
Sasa mkuu utafanyeje kazi peke Yako ?

Unahisi utaweza ku perform everything kwenye hiyo project yako ?
 
Waswahili wanasema mficha uchi hazai
 
min -me
 
Elezea wazo lako kwa uwazi, weka mpango wa kibiashara hapa wa idea yako, na namna inaweza leta faida, na eleza kama ina run au bado iko kwenye development stage?

Mwisho unahitaji nini? Nzuri kama ukialika mtu/watu kuwekeza kwa kiwango fulani unachohitaji kwa mabadilishano ya hisa(equity share).
 
tushamsahauri sana naona anasema hataki idea iibwe
 
Una idea yoyote ya kitu kinaitwa kampuni kweli Mkuu hasa kimuundo na namna kinavyofanya kazi kisheria?, kama hauna unahitaji usaidizi wa kuelimishwa mambo hayo.

Najitolea kukupa hiyo elimu bure kabisa, kama utakuwa serious na sio mbabaishaji nisiwe nimepoteza muda wangu hewana.

Ukiwa tayari niambie, nitakutumia link ya google meeting nikuelimishe wewe na hao wenzako utakaowapata. Nitafanya meeting ya muda wa saa moja tu kama presentation.

Kila la heri.
 
Ndio ni pesaa lazima uwe na idea
Niamke niende wapi🀣🀣🀣 mmesema bongo hakuna investor...ni uongo sababu matajiri wamejaa kibao ni kuwatafuta na kuwaendea na kuwashawishi wawekeze kwako na project
Pesa haitoshii siku zote ila bongo bado venture zetu hazina ukwasii nishapita huko nimeona ndo mana nasema sis tujikwamie kiuchumi tuje tusaidie startup zetu hapa bongo
 
Zinaboreshwaa everything unachokiona watu wa zaman ndo walianza nacho sis tumekuja kuboresha tu
2025 bado tunaishi kwenye hofu za namna hii. Sad.
Ajui kufanya idea ifanye kazi sio kitu chepesii
 
Mazingira aya support
Illiteracy rate ipo juu na awarenes haipo

Idea ya platform ya hvyo au delivery itafanya vzuri mijini kwa dar, zenji, arusha

Tatizo uaminifu na bongo kila mtu ana boda wake
Investor hawez kuwek pesa yke haoni scalebility ya mradi kuwa na uwezo wa ku diversify ije iwe kampuni ya africa

Nipo nafanya kazi na Nala ila jamaa aliamua abadili upepo a focus n nchi nyingin maan kwa bonho kwa uwekezaji kama uo bdo
 
Yes ni kweli kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…