M Melxcom991 Senior Member Joined Aug 2, 2021 Posts 101 Reaction score 118 Jan 24, 2025 #1 Viongozi nilikuwa naomba kama kunayeyote yule anajuwa sehemu kunachumba self kimoja mkoa wa shinyanga maeneo ya Ngokolo au majengo mapya. Chumba kiwe na tiles, maji,umeme, na kipo ndani ya uzio wa ukuta
Viongozi nilikuwa naomba kama kunayeyote yule anajuwa sehemu kunachumba self kimoja mkoa wa shinyanga maeneo ya Ngokolo au majengo mapya. Chumba kiwe na tiles, maji,umeme, na kipo ndani ya uzio wa ukuta
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,109 Reaction score 1,249,103 Jan 24, 2025 #2 All the Best
M Mundele Makusu1 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2021 Posts 2,614 Reaction score 3,701 Jan 24, 2025 #3 Cheza na madalali na wenyeji utapata Tu
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,405 Reaction score 104,823 Jan 24, 2025 #4 Kila la kheri mkuu
makutupora JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 2,482 Reaction score 5,133 Jan 24, 2025 #5 "Mwenye nyumba yupo mkoaniiii! Halafu pale ni pazuri sana, hata umeme matumizi yao sio makubwa maana wote hawashindi pale" Wenje Dalali 😂
"Mwenye nyumba yupo mkoaniiii! Halafu pale ni pazuri sana, hata umeme matumizi yao sio makubwa maana wote hawashindi pale" Wenje Dalali 😂