huku hautapata jibu sahihi,hapa mjini hauwezi kupata chumba/nyumba kwa urahisi bila ya kupitia kwa dalali. sehemu wanakopatikana madalali wa uhakika ni eneo la masika au pale mjini kati karibu na stendi ya magari madogo, sehemu hizo hakika utapata kiasi ukienda saa nne saa saba una hamia. kila la heri