sabuni jr.
Member
- Oct 14, 2014
- 19
- 4
Chumba na sebure kiwe na choo ndani(master) maji na luku ya kujitegemea viwepo napendelea zaidi mitaa ya airport,karakata,majumba sita,banana hadi Mombasa karibu na barabara garama yangu 80-100
Ngoja madalali waamke