Saplaiz
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 283
- 287
Wakuu natafuta chumba cha kupanga mkoani Dodoma....kiwe self contained... maeneo ya area c, area d, area a, maili mbili, airport, town na maeneo yote along barabara ya kwenda arusha....kikiwa cha nje but ndan ya fensi (kinajitegemea mlango) itakuwa poa zaidi.....hata kama vitakua viwil bajetn ikiruhusu nachukua