Natafuta chimbo la vifaa vya pikipiki

Natafuta chimbo la vifaa vya pikipiki

rkid49

Member
Joined
Sep 24, 2014
Posts
14
Reaction score
17
Hello bosses,

Nipo Mkoa wa Tabora, natamani kufanya biashara ya Spare za pikipiki na nimefanya research ya pikipiki gani zinapatikana kwa wingi ni hizi pikipiki za kichina kama sanlg, fekon, honlg, sinoray n.k.

Nimekaa kwenye vijiwe vya mafundi kuona ni vifaa vya brand ipi vinapendwa kwenye haya maeneo nimeona ni
1. Vifaa vyenye chapa ya sinoray
2. Chapa ya PYE
3. Chapa ya SLL
Na vingine ambavyo naendelea kujifunza.

Je nitapata wapi chimbo la vifaa vya pikipiki ambavyo vitauzika?
 
Hello bosses,

Nipo Mkoa wa Tabora, natamani kufanya biashara ya Spare za pikipiki na nimefanya research ya pikipiki gani zinapatikana kwa wingi ni hizi pikipiki za kichina kama sanlg, fekon, honlg, sinoray n.k.

Nimekaa kwenye vijiwe vya mafundi kuona ni vifaa vya brand ipi vinapendwa kwenye haya maeneo nimeona ni
1. Vifaa vyenye chapa ya sinoray
2. Chapa ya PYE
3. Chapa ya SLL
Na vingine ambavyo naendelea kujifunza.

Je nitapata wapi chimbo la vifaa vya pikipiki ambavyo vitauzika?
Kariakoo mtaa wa Livingston
 
Hello bosses,

Nipo Mkoa wa Tabora, natamani kufanya biashara ya Spare za pikipiki na nimefanya research ya pikipiki gani zinapatikana kwa wingi ni hizi pikipiki za kichina kama sanlg, fekon, honlg, sinoray n.k.

Nimekaa kwenye vijiwe vya mafundi kuona ni vifaa vya brand ipi vinapendwa kwenye haya maeneo nimeona ni
1. Vifaa vyenye chapa ya sinoray
2. Chapa ya PYE
3. Chapa ya SLL
Na vingine ambavyo naendelea kujifunza.

Je nitapata wapi chimbo la vifaa vya pikipiki ambavyo vitauzika?
Ukiwa tayari, ukiingia dar nitafute nikupeleke k.koo SLL walipo, SINORAY walipo na PYE usije hata na sh.ng 100 usijeona unatapeliwa.
Nimejitolea kukusaidia.
 
Mmmmmhhhhh free lunch bado ipo! Au ndio Bure aghari
 
Back
Top Bottom