metatron
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 552
- 275
hahahahaha ngoja waje wahusikanaitaji huduma ya full body massage siku ya jmosi .wapi wanatoa kwa bei nzuri jamani hapa dar?
hahahahaha ngoja waje wahusikanaitaji huduma ya full body massage siku ya jmosi .wapi wanatoa kwa bei nzuri jamani hapa dar?
Ni saloon ya kike mkuu... ila mwanaume jmn unataka waxing!! Nunua mashine ya ndevu uwe unatumia na huko chini looohWaxing...wanawafanyia na wanaume pia?...Nipe contact zao nipite mda huu..make nipo mjini.
kawe zipo nyinginaitaji huduma ya full body massage siku ya jmosi .wapi wanatoa kwa bei nzuri jamani hapa dar?
Naomba uni pm na mimi kama hutojali tfadhaliKuna place upanga saloon ya muhindi flani ivii.. very cheap and affordable ata waxing wanafanya cheap mno. Nilivyo mbovu wa kutoa direction naweza nikakupm namba za mdada wa hapo saloon kama utakua interested
nahitaji kufanyiwa masaji naomba ni pmNitakufanyia 50000 kwa kua ni wewe
Hahahahah wazee wa kucheza na fursaDah,
Yaani mungu huyu wa ajabu aisee, ashukuriwe sana.
Manake nami pia nlikua natafuta the same thing, na vifaa ninavyo pia ni mtaalamu,
Sasa Mimi nitakufanyia hiyo massage, malipo yake ni wewe pia kunifanyia mimi manake nami nahitaji pia,
Nami pia sintokulipa kwani malipo yake ni mimi kukufanyia wewe pia,
Cha msingi tukubaliane tu wapi tutafanyiana hiyo kitu,

We itakuwa wa mikoaniDah..... massage ndiyo kitu gani wakuu?![]()
![]()
Sent from my Osborne II using JamiiForums Mobile App
