EE BWANA mimi ni mfugaji wa kuku kibamba [kuku wa mayai] nahitaji cages kwa ajili ya kuku wangu [2500]. ningependa kujua nitapata cage wapi na kwa bei gani hapa Dar hata nikipata mafundi bora wa kutengeneza hizo cages kwa ubora na viwango nitashukuru sana.
KWA PAMOJA TUIJENGA TANZANIA MPYA....