Natafuta bussiness partner wa unga wa sembe

Natafuta bussiness partner wa unga wa sembe

jiwekuu770

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
2,246
Reaction score
1,646
Kama uko dar_es_salaam au sehemu yyte ambayo tunaweza Fanya biashara ya sembe!! Mimi nitakua manufacture na wewe utakua supplier wa mzigo sokoni !! Mi ntakua naprossess na kukutumia !!
Kama upo tayari au unaushauri kuhusu hilo au kunidirect karibu!!
Ushaur ,maoni au bussness
 
Kama uko dar_es_salaam au sehemu yyte ambayo tunaweza Fanya biashara ya sembe!! Mimi nitakua manufacture na wewe utakua supplier wa mzigo sokoni !! Mi ntakua naprossess na kukutumia !!
Kama upo tayari au unaushauri kuhusu hilo au kunidirect karibu!!
Ushaur ,maoni au bussness
Ujasema uko wap mkuu na unahtaj mtu wa sifa zp utamletea tani ngap kwa kpnd gan
 
Ujasema uko wap mkuu na unahtaj mtu wa sifa zp utamletea tani ngap kwa kpnd gan
Aweze kuwa supplier wa mzgo nitakaokuwa namtumia,aweze kutafuta soko LA uhakika dar au nje ya hapo!! Kiasi cha mzgo kitakua kinaongezeka kulingana na soko litavokua zuri!! Nipo iringa
 
Aweze kuwa supplier wa mzgo nitakaokuwa namtumia,aweze kutafuta soko LA uhakika dar au nje ya hapo!! Kiasi cha mzgo kitakua kinaongezeka kulingana na soko litavokua zuri!! Nipo iringa
ni pm mkuu tubadilishane mawazo
 
Kama uko dar_es_salaam au sehemu yyte ambayo tunaweza Fanya biashara ya sembe!! Mimi nitakua manufacture na wewe utakua supplier wa mzigo sokoni !! Mi ntakua naprossess na kukutumia !!
Kama upo tayari au unaushauri kuhusu hilo au kunidirect karibu!!
Ushaur ,maoni au bussness
Nipo dar mbez mwisho nitafte kwa no hii.
 
Nipm tuyajenge,naona nafit vizuri na mambo yatakuwa mazuri,nipo Dar-Ilala
 
Back
Top Bottom