Muima funguka zaid ili wna JF wenye mawazo kma yako pia wafunguke. Ujue kila Mtu ana interest zake, uwezo na uzoefu so ni muhim kujua wewe unawaza maeneo gani hta kama siyo specific sana lakin kujua tu una pendelea nn itasaidia kuwapata mapatna. lkn kwa ulivo andika itakuwa ngumu kuwapata au utapata w2 wachache.