Natafuta Business partner

judey

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2021
Posts
454
Reaction score
541
Husika na kichwa Cha habar hapo juu , natafuta mtu wa kufanya nae KAZI ya usafi majumbani, maofisi (awe kama mmoja wa mliki)Nina kampuni ndogo ya usafi ambayo nimesajili brela na inafanya kazi

Vigezo vinavyohitajika
1 awe kijana wa kiume au wakike
2 mchapakazi na Mwenye maono positive
3 awe tayari kuchangia kiasi Cha pesa kama partner

Kwa ambaye kijana Mwenye Nia ya dhatii karibu tufanye kazii Niko dar es salaam , temeke uhasibu

Mimi ni mwanachuo was chuo Cha uhasibu nasoma marketing
Mawasiliano 0626456047

Never give up!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…