black short JF-Expert Member Joined Nov 16, 2019 Posts 519 Reaction score 980 Feb 17, 2022 #1 Uzi mfupi tu. Natafuta bodi la gari aina ya Toyota haisi superoof (dungu). Likiwa halina gearbox, injini wala diffu itapendeza zaidi. Kikubwa liwe halijakatika chasis/chasesi (vyovyote vile). Likiwa maeneo ya mwanza, shinyanga, kahama, nzega itakuwa vyema zaidi. Mbarikiwe! NB: muonekanokama hii picha chini.
Uzi mfupi tu. Natafuta bodi la gari aina ya Toyota haisi superoof (dungu). Likiwa halina gearbox, injini wala diffu itapendeza zaidi. Kikubwa liwe halijakatika chasis/chasesi (vyovyote vile). Likiwa maeneo ya mwanza, shinyanga, kahama, nzega itakuwa vyema zaidi. Mbarikiwe! NB: muonekanokama hii picha chini.
Medecin JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 8,754 Reaction score 24,120 Feb 17, 2022 #2 Huwezi kupata lenye sifa hizo halafu likawa bora kama kwenye picha, kama unataka lenye putty kila eneo utapata
Huwezi kupata lenye sifa hizo halafu likawa bora kama kwenye picha, kama unataka lenye putty kila eneo utapata
black short JF-Expert Member Joined Nov 16, 2019 Posts 519 Reaction score 980 Feb 19, 2022 Thread starter #3 JembeKillo said: Huwezi kupata lenye sifa hizo halafu likawa bora kama kwenye picha, kama unataka lenye putty kila eneo utapata Click to expand... Huo ni mfanano tu,, Hilo lenye putty liko wapi?
JembeKillo said: Huwezi kupata lenye sifa hizo halafu likawa bora kama kwenye picha, kama unataka lenye putty kila eneo utapata Click to expand... Huo ni mfanano tu,, Hilo lenye putty liko wapi?
Medecin JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 8,754 Reaction score 24,120 Feb 20, 2022 #4 black short said: Huo ni mfanano tu,, Hilo lenye putty liko wapi? Click to expand... Natamani nikupeleke ukalione ila utanipa tu lawama mwisho wa siku
black short said: Huo ni mfanano tu,, Hilo lenye putty liko wapi? Click to expand... Natamani nikupeleke ukalione ila utanipa tu lawama mwisho wa siku