Natafuta Blackberry 10

Natafuta Blackberry 10

ethicx

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
311
Reaction score
127
Habari wadau, natafuta BlackBerry 10 iwe katika hali nzuri hasa Q10, Z10 au Z30 budget yangu ni 250k tu.
If interested PM plz.
 
Mkuu mi ninayo TECNO BooM J7 mpyaa inauzwa kwa bei poa kabisa sh 240,000 in warrantee ya mwaka mzima Touch screen Adroid version Internal memory 16 GB Kwa anaeitaji Call me or check me in whatsapp +255 717751644
 
Mkuu mi ninayo TECNO BooM J7 mpyaa inauzwa kwa bei poa kabisa sh 240,000 in warrantee ya mwaka mzima Touch screen Adroid version Internal memory 16 GB Kwa anaeitaji Call me or check me in whatsapp +255 717751644

Me naweza kukupatia original from us or uk kwa tsh 400,000
 
Mkuu z10 kwa bei hiyo ni ngumu kupata labda uuziwe ambayo ipo katika hali mbaya bt ukiwa angalau na 400 and above unapata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom