Mimi ni kijana wa miaka 23 ni mwajiriwa mpya katika jeshi Fulani Nina miezi 2 elimu degree ya upelelezi na Usalama ,Nafanya kazi kwenye taasisi ya jeshi Fulani natafuta Binti wa kuoa awe chini ya miaka 23 awe muislamu.
Kwaiyo baada ya kupata Kazi umeona uje utuambie kwa staili hiyo?
Hakuna binti utapata humu kwa matukio yenu wanajeshi tulioyaandika humu nyie wa hovyo sana
Kwaiyo baada ya kupata Kazi umeona uje utuambie kwa staili hiyo?
Hakuna binti utapata humu kwa matukio yenu wanajeshi tulioyaandika humu nyie wa hovyo sana