D dundula JF-Expert Member Joined Jan 3, 2012 Posts 539 Reaction score 139 Feb 17, 2015 #1 Elimu yangu ADA kaz nipo halmashaur ya wilaya hapa tz age 30 Dini muislam
Kanali G JF-Expert Member Joined Oct 21, 2013 Posts 9,897 Reaction score 14,435 Feb 17, 2015 #2 Nilidhani unatafuta mwanamke wa kuoa kumbe binti,hao unaweza kuwapata maneromango waliomaliza kuchezwa ngoma
Nilidhani unatafuta mwanamke wa kuoa kumbe binti,hao unaweza kuwapata maneromango waliomaliza kuchezwa ngoma
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Feb 17, 2015 #3 unataka kuwa mbakaji wewe?
gsu JF-Expert Member Joined Apr 28, 2014 Posts 3,461 Reaction score 712 Feb 17, 2015 #4 dundula said: Elimu yangu ADA kaz nipo halmashaur ya wilaya hapa tz age 30 Dini muislam Click to expand... Unaoaje binti wakati mabinti bado wanasoma wewe jamaa vipi kwanini usioe mwanamke?
dundula said: Elimu yangu ADA kaz nipo halmashaur ya wilaya hapa tz age 30 Dini muislam Click to expand... Unaoaje binti wakati mabinti bado wanasoma wewe jamaa vipi kwanini usioe mwanamke?
raamar JF-Expert Member Joined Aug 17, 2014 Posts 252 Reaction score 23 Feb 17, 2015 #5 yani pamoja na hyo ADA yako bado vuvula tu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
M mamanzara JF-Expert Member Joined Oct 9, 2007 Posts 651 Reaction score 196 Feb 17, 2015 #6 Huwa nawashangaa sana watu wanaotafuta wake/waume kupitia mitandao, hivi humo wanamoishi huwa hakuna watu au inakuwaje?!!!!!
Huwa nawashangaa sana watu wanaotafuta wake/waume kupitia mitandao, hivi humo wanamoishi huwa hakuna watu au inakuwaje?!!!!!